PPRD-FIZI : Camarade ALONDA Gentil wa Lulimba Secteur ya Ngandja ndugu Ali fariki kwaku jinyonga baada yaku sikia Mama Louise MUNGA amekosa

Écrit par sur janvier 15, 2019

PPRD-FIZI inayo masikitiko makubwa kuwa tangazia kifo cha Camarade ALONDA Gentil wa Lulimba Secteur ya Ngandja ndugu Ali fariki kwaku jinyonga baada yaku sikia Mama Louise MUNGA amekosa kwa uchaguzi ame hacha mke na watoto , mungu ailaze pema roho yake peponi na afariji walio baki. Pia mwana mke moja ame lazwa kwa mshituko wa moyo kwa MSF. Uzuni mwengine ni kwamba Néhémie Mwilanya ame hamuru administrateur kufunga wana memba 5 wa PPRD kwa cadre wa Mama Louise MUNGA, hii leo KOSKO ame fungwa na SWEDI KATAYA ame fungwa na polisi pa Baraka, hivi msako unaendelea kutafuta LAC,MUSATO Na président wa Société Civile. Ni mambo yaku shangaza, tunaomba bila condition camarade walio fungwa leo kuachiwa huru nawengine wawe na usalama wao. Wa cadres hao wa PPRD wali sema kweli ju ya ma irrégularités za élections mu FIZI ukweli wao isiwe sababu ya wao ku fungwa kwa sababu yamadaraka kila mtu ana takiwa kutetea haki zake na iyo nisheria. Niuzuni kubwa pia watie kwenye liste ya mandat ya polisi président wa Société civile kwa nini ? Kesho tuta barrer route Baraka ndugu, camarade wasipo hachiwa huru. Vijana wa baba na wa mama wote mulivyo mchaguwa Mama Louise MUNGA tuonyeshe wote kesho tena mu Barbara warudishe haki yake na ku taazarisha wengine mutu wa Louise MUNGA mwenye ata kufa atakuwa mu kichwa cha CNPD, kuanzia camarade tuliye mpenda aliye fariki Lulimba na wagonjwa wote wao ni wa responsables.

fizimedia.com


Les opinions du lecteur

Laisser un commentaire

Votre adresse email ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *



En ce moment

Titre

Artiste

FiziMedia

GRATUIT
VOIR