Uvira: watu wenye silaa wamteka kapita wa Kijiji cha Kasambura.
Écrit par FiziMedia sur septembre 4, 2022

Watu wenye kushikiliya silaa wamteka kapita wa Kijiji cha Kasambura, groupement ya Runingu, ndani ya usultani wa Wafulero tarafani Uvira,usiku wa Siku ya sita tarehe 03/09/2022 mida ya saa tatu (21h28) usiku.
Bado mpaka sasa kujulikana wapi waliko mpeleka kiongozi huyu(OMBENI Kayege), kama alivyo heleza mkurugenzi wa shirika jipya la Raia Kijijini Mutarule, bwana Kenge kimanuka
fizimedia.com