Fizi-Misisi:Hali ya usalama ndani ya muji wa Misisi

Écrit par sur juillet 21, 2019

Wakati huu ikiwa sasa miezi miwili tangu kuliripotiwa hali ya mauwaji na Vita ndani ya muji wa misisi, hatimaye kume harifiwa usalama wa kurizisha ndani ya muji huo wa jimbo la kivu ya kusini.

Kulingana na shirika la raiya la tarafa la Fizi
Katika kijiji hicho limesema kuwa, raiya wanahendesha kazi zao bila shida ,huku wachimba madini wa muji huo wamehanza kurudilia maisha yao ya zamani.
Katika Habari tulizo zipokea kutoka idhaa ya redio moja ya muji huo, zimesema kuwa, mji wa Misisi ulikumbwa na shida nyingi ikiwemo hali ya uporaji wa mali za raiya huku watu wenye sera za jeshi wanakuwa wakichotwa vidole na raiya.
Kwengine makundi yenye kumuliki silaa yanakuwa yakishotwa vidole na jeshi la kitaifa FARDC kuwa Ndiyo wenye kupora raiya.
Raïs wa inchi aliweza kuita makundi yenye kumiliki silaha kujihunga na jeshi la taifa ili kujenga amani ya kudumu na jeshi moja.

http://www.fizimedia.com

Copy right© fizimedia.com


Les opinions du lecteur

Laisser un commentaire

Votre adresse email ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *



En ce moment

Titre

Artiste

FiziMedia

GRATUIT
VOIR